Wednesday, 30 November 2016

                       TANGA CHALLENGE CUP
Timu ya Eagle sports Academy imepoteza mechi yake dhidi ya USAGARA fc ktk uwanja wa tanga skuli kwa kukubali kipigo cha bao moja bila majibu.


timu ya Eagle Rangers imefanikiwa kushinda bao 4 kwa 0 dhidi ya Jiwe fc katika uwanja wa mikanjuni.
                                                        TANGA CUP CHALLENGE
Eagle Rangers imefnikiwa kuwafunga Sigasiga FC bao 2- 0 katika uwanja wa mikanjuni.





                           TANGA CUP CHALLENGE
Timu ya Eagle Rangers imefanikiwa kuwasulubu vibaya mno timu ya JIJI fc Kwa mabao 4-1 katika mechi iliyochezwa ktk uwanja wa Mikanjuni.



vijana wa Eagle Sports Academy imepoteza mechi yake baaada ya kukubali kipigo cha bao moja bila ktk uwanja wa tanga skuli dhidi ya Sahare All staz

Friday, 18 November 2016

                               TANGA CHALLENGE CUP
Timu ya Eagle Rangers imetoa suluhu ya kufungana bao moja kwa moja dhidi ya timu ya cofee fc katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa mikanjuni sec.




timu ya Eagle sports academy imepoteza mchezo wake wa jana kwa kukubali kipigo cha bao mbili bila kutoka kwa Uhuru fc

Tuesday, 15 November 2016

                                           TANGA CUP CHALLENGE
Timu ya eagle sports academy jana ilitoshana nguvu na timu ya Double Target fc kwa kutoka suluhu ya bao moja kwa moja katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa tanga school



SIKU YA LEO 
Eagle Rangers imekubali kipigo cha goli moja bila majibu kutoka kwa timu ya Super Sport 

Sunday, 6 November 2016

HATIMAYE ULE MZIMU UMEWAONDOKA WANA EAGLE BAADA YA KUIFUNGA TIMU YA TORABORA FC BAO 1 BILA MAJIBU....KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI... NA SASA KUFIKIA POINT NNE KWA NAFASI YA NNE KATIKA KUNDI LAO

Monday, 10 October 2016

HAIKUWA BAHATI YAO VIJANA.. LEO VIJANA WA EAGLE RANGERS WAMEKUBALI KIPIGO CHA GOLI MBILI KUTOKA KWA BOMBOKA FC BILA MAJIBU.KILA GOLI NA KIPINDI CHAKE.KATIKA MCHEZO WA LIGI YA MKOA ULIOPIGWA UWANJA WA MKWAKWANI


Wednesday, 28 September 2016

WANASAHAREE...........
LEO VIJANA WA EAGLE RANGERS A.K.A MPIRA PASI WAMEPOTEZA MECHI YAO DHIDI YA SAHARE ALL STARS ULIOPIGWA KTK UWANJA WA MKWAKWANI KWA KUKUBALI MAGOLI 2 KWA 1. HONGERA SAHARE


Thursday, 22 September 2016

EAGLE RANGERS LEO IMETOSHANA NGUVU NA MUHEZA UNITED KATIKA UWANJA WA MUHEZA ..MABAO NI BILA KWA BILA






Monday, 12 September 2016

RAHA YA SIKUKUU FURAHA....LEO VIJANA WA EAGLE RANGERS WAMEMALIZA SIKU YAO KWA FURAHA........KWA  KUMEWAFUNGA  HANDENI COMBINE BAO 2 KWA MOJA KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA MKATA.

Saturday, 10 September 2016

MGAMBO JKT YAIBUKA NA USHINDI WA GOLI 1 KWA BILA DHIDI YA EAGLE RANGERS KATIKA UWANJA WA POPATLAL.

Saturday, 3 September 2016

UBABE UBABE BAADA YA MECHI YA JUZI KUKALISHWA MTU MZIMA HATIMAYE LEO KAKAA KAKAA TENA RAS TANGA IMEKUBALI KWA RIDHAA YAO BAO NNE KWA BILA ...HUKU MAGOLI YA EAGLE YAKITIWA NYAVUNI NA
 ABDUL NEMBUKA 2
MAAMUN 1
NICKSON 1......VIVA EAGLE RANGERS

Thursday, 1 September 2016


HATIMAYE WENYE GEREZA LA MAWENI AL MAARUFU KAMA SMALL PRISON WAMEKUBALI KIPIGO CHA BAO MOJA KWA BILA KUTOKA KWA VIJANA HATARI MACHACHARI KUTOKA KITUO CHA EAGLE SPORTS ACADEMY TIMU YA EAGLE RANGERS. KATIKA UWANJA WA MAWENI TANGA.





TIMU YA EAGLE BAADA YA GOLI LA KWANZA




Tuesday, 23 August 2016


                                      IJUE EAGLE 

Eagle Academy Ilianzishwa mwaka 2000 kutokea kwenye Mgogoro wa Klabu kongwe Maeneo ya Sahare Cabo Delgado.Baadhi ya Wanachama,wapenzi na Wachezaji Wa Delgado kugawanyika kimtazamo na kimfumo Wa Uendeshaji timu hususan maswala ya Utawala.
Viongozi waliokuwa mrengo Wa kushota wakaianzisha timu iliyoitwa Cabo Rangers..Bado Viongozi Wa Cabo Delgado wakasema jina LA Cabo Rangers ni LA kwao na kuwalazimisha walibadilishe na kuondoa neno Cabo.
Uongozi uliokuwepo Cabo Rangers Kwa Wakati huo ndipo Wakabadili Usajili Wa jina Cabo na Kuwa Eagle Rangers.na ilianza kucheza ligi ya wilaya mwaka 2000 Rasmi.
 Baada ya kushiriki ligi ya wilaya Kwa miaka mitatu..Uongozi Rasmi Wa Eagle ambao haukutetereka na mapinduzi na Maneno ya mtaani Uliamua kuanzisha Shule ya Mpira na hii ilichagizwa sana baada ya Mwalimu na kiongozi Wa timu Bakari Shime Kutoka kusomea kozi ya Juu ya Ukocha Wa watoto wadogo inayotambuliwa na Shirikisho LA soka ulaya kutokea Kwa mkufunzi Wa Kiholanzi
Hapo ndipo Kituo hicho kikaanzishwa Rasmi mwaka 2003 kikaitwa Eagle Sports Academy Chini ya mwamvuli wa Youth Soccer and Development Program (Yosotadep)na mwaka 2004  timu zote mbili ziliingizwa kushiriki ligi ya wilaya ya Tanga huku Eagle Rangers ikiwa na Vijana chini ya miaka 17 na wachache waliozidi miaka 17..Wakati Eagle Academy ukiwa na vijana Wa chini ya miaka 15.
Kwa maajabu kabisa timu iliyokuwa na vijana Wa Chini ya miaka 17 Eagle Academy wakafanikiwa kuipandisha timu yao kwenda ligi ya mkoa kinyume na matarajio ya Uongozi mzima Wa Eagle.
 Mpango ulikuwa ni Eagle Rangers Kucheza ligi ya mkoa na Academy ya watoto icheze ligi ya wilaya.ila imefanyika kinyume chake
 Mafanikio .
Kuanzia mwaka 2000 Hadi 2014 Timu imeweza Kwa kila mwaka kufanya Ziara za nje ya mikoa Kwa ajili ya mashindano ya vijana.
Mwaka 2014 Timu ilifanikiwa kutwa ubingwa Wa Africa Mashiriki na kati Wa vijana chini ya miaka 17 Kwa kuwafunga Azam Fc ya Dar.
Timu pia Imeweza kushiriki ligi zinazotambuliwa na Shirikisho LA Mpira Wa Miguu Tanzania Kwa miaka 17 bila kukosa
Martin: Timu pia imeibua vipaji mbalimbali vya Vijana kuchezea ligi kubwa Tanzania bara na Visiwani.
 Huku ikijivunia mafanikio makubwa zaidi ya mkufunzi wao mkuu kuwa Kocha Wa Timu ya Taifa ya Vijana Tanzania hiyo inathibitisha ubora Wa Elimu iliyokuwa inatolewa kituoni.
 Malengo ni Eagle Academy kuja kucheza Ligi KUU bara kabla ya kutimiza miaka 20.

Friday, 19 August 2016












LEO TENAA..... UNAJUA KILICHOTOKEA UWANJA WA MKWAKWANI NI ILE DERBY YA MTAA WA SAHARE KATI YA EAGLE RANGERS NA SAHARE ALL STARZ U17...EAGLE IMESHINDA BAO 3-0. .. WENYEWE WANAKAMBIA HAKIKA YOUTH IS FUTURE.  

Thursday, 18 August 2016

Raha ya mchezo ushinndi tu hamna jingine. hongereni vijana wa Eagle Rangers U17 kwa kuwachapa bao moja wakenya .....

Wednesday, 17 August 2016

Ni siku ambayo inaisha vibaya baada ya vijana wetu wa Eagle Rangers chini ya miaka 17 kupoteza mechi hiyo katika uwanja wa mkwakwani dhidi ya timu ya majengo .......

Monday, 15 August 2016

*******TIMU IMEZAA TIMU****
Je unaijua timu iliyozaa timu........ Hapa sizungumzii nchi nyingne wala makundi ya taarabu .....Ila nazungumzia Timu ambayo imezaa timu na kilichozaliwa nacho kikawa kikubwa chenye kuleta upinzani hapa nazungumzia Eagle Sports Academy
 yenye maskani yake mkoani Tanga Sahare imezaa timu nyingine yenye maskani yake Sahare Kijijini na uwanja wake uko huko iitwayo Sahare All Starz
 Hakika Sahare ni timu changa ambayo inaleta upinzani mkubwa sana mana asilimia kubwa ya wachezaji wake wametoka Eagle Sports Academy.................
RAHA YA MPIRA USHINDANI NA HAPA NDIPO USHINDANI UNAPOKUWA MZURI NDIO JINSI MAFANIKIO YA MPIRA YANAKUWA VIZURI. HAPA NI KM MFANO WA MAN U NA MAN CITY , AMA TIMU ZA BARABARA ZA NAMBA MKOANI TANGA KATI YA COASTAL UNION NA AFRICAN SPORTS... KIINGEREZA  WANAITA DERB...HAKIKA SASA KUNA SAHARE DERB KATI YA SAHARE MJINI NA SAHARE KIJIJINI. HAPA NAMAANISHA EAGLE VS SAHARE ALL STAZ.

Friday, 12 August 2016

Leo timu ya Eagle Rangers imeshindwa kuendeleza ubabe wake katika viwanja vya Popatlal SEC. kwa kupata suluhu ya Bao 1-1. mechi ilikuwa nzuri sana.


ZAO LA EAGLE SPORTS ACADEMY .......

Thursday, 11 August 2016





OUR JERSEY OUTLOOK
EAGLE SPORTS ACADEMY & EAGLE RANGERS.
**************

MUONEKANO WA JEZI ZETU
EAGLE SPORTS ACADEMY & EAGLE RANGERS







Eagle Rangers has beaten RAS Tanga 4-1...............goal score by Abdul Hamad 2goals, Joseph Elisha and Ramadhan. the match was so fantastic.

 Eagle Rangers imeipiga Tanga Jiji 4-1.................. magoli mawili yamefungwa na Abdul hamad, jingine Joseph Elisha na Ramadhan.. mechi ilikuwa nzur.



Wednesday, 10 August 2016

In every life of football sports there are time of happiness and sadness, It was 2013 when Eagle sports Academy won the final match of Rolling Stone cup against Azam FC Academy that was competition of East and Central Africa Youth Competition at  Sheikh Amri Abeid Stadium. Arusha. One of our proud to be eagle sports Academy
************************** .YOUTH IS FUTURE***********************.********
Katika kila maisha ya mchezo wa Mpira kuna muda furaha na huzuni. Ilikuwa 2013 kipindi timu Eagle sports Academy iliposhinda fainali ya Rolling Stone Cup dhidi ya Azam FC Academy haya yalikuwa mashindano ya Africa Mashariki na Kati yaliyofanyika uwanja wa Sheikh Amri Abeid . HALIYAKUWA VIJANA WAKO KTK SAUM







East and Central Africa Competition 2013...Rolling stone Cup with Coach Kessy Abdallah on behalf of Super Coach Bakari Shime (Black Wizard) beside of the player Issa.




Musa Chambega the captain of Eagle Sports Academy with the Coach Kessy Abdallah. 


Tuesday, 9 August 2016

EVERYTHING START AT DOWN TO UP .....NO ONE STAND WITHOUT PROCESS... FOOTBALL NEEDS CHILD TO CARE TO TRAIN TO COACH.... AS EAGLE SPORTS ACADEMY RISE THE CHILDREN TO BECOME THE SUPER  FOOTBALL PLAYER IN TANZANIA, AFRICA AND THE WORLD. THIS IS  LITTLE EAGLES  ACQUIRE SKILLS.
YOUTH IS FUTURE

Eagle Sports Academy katika maandalizi ya msimu mpya wa ligi 016/2017 ya mkoa Tanga
kaa nasi kwa matukio, picha na ratiba nzima ya vijana wetu wa Eagle Sports Academy..



                                                                         ******

                   *******.............................................*****...............................................*******
Do you need fun footballers ....wonderfully players...special coaches......all this available at Eagle Sports Academy in Sahare, Tanga District Tanzania...... Youth is Future.