Timu ya Eagle Rangers imefanikiwa kuwasulubu vibaya mno timu ya JIJI fc Kwa mabao 4-1 katika mechi iliyochezwa ktk uwanja wa Mikanjuni.
vijana wa Eagle Sports Academy imepoteza mechi yake baaada ya kukubali kipigo cha bao moja bila ktk uwanja wa tanga skuli dhidi ya Sahare All staz
No comments:
Post a Comment