Friday, 18 November 2016

                               TANGA CHALLENGE CUP
Timu ya Eagle Rangers imetoa suluhu ya kufungana bao moja kwa moja dhidi ya timu ya cofee fc katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa mikanjuni sec.




timu ya Eagle sports academy imepoteza mchezo wake wa jana kwa kukubali kipigo cha bao mbili bila kutoka kwa Uhuru fc

No comments:

Post a Comment