Wednesday, 30 November 2016

                       TANGA CHALLENGE CUP
Timu ya Eagle sports Academy imepoteza mechi yake dhidi ya USAGARA fc ktk uwanja wa tanga skuli kwa kukubali kipigo cha bao moja bila majibu.


timu ya Eagle Rangers imefanikiwa kushinda bao 4 kwa 0 dhidi ya Jiwe fc katika uwanja wa mikanjuni.

No comments:

Post a Comment