Tuesday, 15 November 2016

                                           TANGA CUP CHALLENGE
Timu ya eagle sports academy jana ilitoshana nguvu na timu ya Double Target fc kwa kutoka suluhu ya bao moja kwa moja katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa tanga school



SIKU YA LEO 
Eagle Rangers imekubali kipigo cha goli moja bila majibu kutoka kwa timu ya Super Sport 

No comments:

Post a Comment